Wednesday 25 May 2011

Mapishi ya Ndizi tamu za kuokwa


Mahitaji
Ndizi tamu 4
Chumvi kidogo
Mafuta

Matayarisho
Menya ndizi kisha zikwangue utomvu. Baada ya hapo zioshe na uzikaushe maji yote na kitchen towel. Baada ya hapo zipasue kati na ukate tena nusu yake.Zipake mafuta pande zote kisha zinyunyuzie chumvi kidogo pande zote. Baada ya hapo zibake kwa moto wa juu na chini mpaka zitakapoiva na kupata rangi ya brown juu na chini. baada ya hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa

No comments:

Post a Comment