Monday 4 April 2011

Broccoli soup


Mahitaji
Broccoli Kichane 1
Viazi (potato) 2 vya wastani
Supu (chicken or vegetable broth) 2 vikombe
Kitunguu (onion) 1 kikubwa
Mafuta ya kupikia 1 kijiko cha chakula
Chumvi (salt) kiasi
Pilipili 1/4
Limao 1/4

Matayarisho
Katakata broccoli, viazi na kitunguu katika vipande vya wastani kisha viweke katika sufuria ya kuchemshia na utie maji kidogo na chumvi. Chemsha mpaka viazi na broccoli viive kisha tia supu, pilipili, mafuta na ukamulie limao baada ya hapo chemsha tena kwa dakika 5 na baada ya hapo isage na itakuwa tayari kwa kuseviwa

No comments:

Post a Comment