Thursday 24 March 2011

Mapishi ya Kababu (Meatballs)


Mahitaji
Nyama ya kusaga (minced beef) 1/2 kilo
Kitunguu kikubwa (large onion) 1
Kitunguu swaum/ tangawizi (ginger/garlic paste) 1 kijiko cha chakula
Chenga za mkate (Breadcrambs) 3 vijiko vya chakula
Yai (egg) 1
Curry powder 1 kijiko cha chai
Turmaric 1/2 kijiko cha chai
Pilipili ya unga (chilli powder 1/2 kijiko cha chai
Coriander powder 1/2 kijiko cha chai
Giligilani (fresh chopped coriander)
Limao (lemon) 1/2
Chumvi
Mafuta ya kukaangia

Matayarisho
Changanya vitu vyote (kasoro mafuta ) katika bakuli hakikisha mchanganyiko wako umechanganyika vizuri, kisha tengeneza maduara ya wastani na uyahifadhi frijini kwa muda wa masaa 4 (au unaweza kuziacha zimarinate kwa usiku mzima) Baada ya hapo zikaange kwenye mafuta mpakaziive naziwe rangi ya brown. Kisha ziipue na uziweke kwenye kitchen towel ili zichuje mafuta na hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa.
 Pia unaweza kuzibake katika oven kama hutaki kuzikaanga.

No comments:

Post a Comment